Mpendwa wetu akiwa ametulia kwenye nyumba yake ya milele.
Steve Nyerere pamoja na Rich Rich wakiwa kwenye nyuso za huzuni na kukubali kweli hawatomuona tena Tyson
Anaitwa pasta Bob Makali kutoka Ocean Community Church alikuwa akiubiri neno la mungu na kuendesha ibada nyumbani kwa marehemu.