PICHA: LORI LAPINDUKA KIMARA KONGOWE JIJINI DAR

Leo imetokea ajali ya gari aina ya Lori lililoanguka karibu na daraja la kwenda Kongowe jijini Dar es Salaam. Picha zote na Yvonne Mhando wa Kajunason Blog.
Askari wa usalama barabarani akipima ajali na kuandika ripoti.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo