PICHA: DEREVA WA DALADALA ASHUSHIWA KIPIGO NA ABIRIA BAADA YA KUTAKA KUPINDUA DALADALA HIYO


Dereva wa daladala ya Gongo la Mboto – Posta amepata kichapo na abiria baada kutaka kupindua daladala hiyo karibu na stendi ya mnazi mmoja, kichapo hicho alikipata baada yeye kutaka kukimbia.

Kamera ilinasa picha za kisanga hicho…
Kichapo kinaendela kwa dereva huyo aliyesemekana kuwa ni deiwaka tu.
Kichapo kinaendela kwa dereva huyo aliyesemekana kuwa ni deiwaka tu.
Daladala aliyoitaka kuipindua.
Daladala aliyoitaka kuipindua.
Dereva wa daladala la Gongo la Mboto Posta katikati aliyevaa shati la bluu akipewa kichapo na abiria.
deiwaka wa daladala la Gongo la Mboto Posta katikati aliyevaa shati la bluu akipewa kichapo na abiria.

Picha zote kwa mujibu wa taarifa news


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright 2025 EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo