Mwili wa marehemu George ukiandaliwa kwa ajili ya kuagwa.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick akiaga mwili wa marehemu George Otieno 'Tyson' katika Viwanja vya Leaders, Dar.
Said Mecky Sadick wakati akielekea kuaga mwili wa Tyson.
Mwili wa George Tyson ukiagwa.
(PICHA NA GPL NA MICHUZI BLOG)
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi