KILI MUSIC TOUR 2014 YAACHA GUMZO SONGEA, PICHA ZIKO HAPA

Wakazi wa Songea wakishuhudia burudani toka kwa wakali wa muziki nchini katika tamasha la Kili Music Tour kwenye Uwanja wa Majimaji Songea.
Diamond Platnumz akithibitisha kwa nini alipata tuzo saba katika tuzo za Kili.
Baada ya makelele mengi ya mashabiki Diamond alimpandisha mpenzi wake, Wema Sepetu na kucheza nae.
Mkali muziki wa wa R&B, Ben Pol akiwapa burudani mashabiki.
Profesa Jay akitoa burudani.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo