Msanii
wa Bongo Fleva, Jux akitoa burudani kwa mashabiki wake usiku wa kuamkia
leo Club Billicanas akizindua Video yake mpya ya Nitasubiri.
Msanii wa Bongo Fleva, Vanesa Mdee akiimba wimbo wake wa Closer ndani ya Billicanas.
Mashabiki wakifuatilia burudani ndani ya Club Billicanas.
Mtangazaji wa Clouds FM, Hamis Mandi aka B12 akiongea jambo.
Msanii wa Bongo Fleva, Mirror ambaye amesainiwa chini ya kampuni ya Endless Fame ya Wema Sepetuakiwapa burudani mashabiki wake.
...Mashabiki wakijiachia katika redcarpet kabla ya show.
(PATRICK BUZOHERA,MELKIADI OREJE/GPL)
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube