BASI LA KAMPUNI YA NEW FORCE LA KUTOKA DAR KWENDA MBEYA LAPATA AJALI MBAYA IGURUSI MBEYA

Basi la New Force Muda muda mchache baada ya kupata Ajali

Taarifa zilizotufikia hii leo kutoka Igurusi Mbeya zinasema Basi la New Force lililokuwa likitoka Dar es salaam kuja Mbeya limepata Ajali Mbaya eneo la Igurusi na kusababisha Vifo vya watu wawili hapo hapo.

Imeelezwa kuwa watu hao wanaodaiwa kupoteza maisha walikuwa wakitembea kwa miguu na kujeruhi wengine zaidi ya 30 ambao wamekimbizwa Hospitali na kusaidiwa kupata matibabu.

Taarifa kamili na picha zinakuja endelea kufuatilia hapa hapa .......


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo