ANGALIA KILICHOTOKEA BAADA YA TAA ZA KUONGOZEA MAGARI ENEO LA TABATA KUZIMIKA







kufuatia kuzimika kwa taa za kuongozea magari eneo la Tabata jijini dar es salaam kumepelekea msongamano mkubwa wa magari katika eneo hilo kwa kila mmoja kutaka apite na baadaye magari kufunga barabara

Hadi eddy blog inaondoka eneo hilo kwa kutumia pikipiki magari yalikuwa hayawezi kwenda na kulikuwa na foleni ndefu sana


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo