WAFANYAKAZI WALIOFANYA VIZURI WILAYANI MAKETE WAKABIDHIWA ZAWADI ZAO

Bi. Sechelela Dagaa kutoka ofisi ya ustawi wa jamii wilaya ya Makete akipokea zawadi yake ya ufanyakazi bora.
 Bw. Onespholia Ngogo Afisa tawala wilaya ya Makete akipokea zawadi yake ya mfanyakazi bora.
 Mzee Leopod Mlowe akipokea zawadi yake ya mfanyakazi bora idara ya elimu.
 Mratibu elimu kata ya Lupalilo akipokea zawadi yake ya mfanyakazi bora.
Bw. Mathew Komba akipokea zawadi yake kama mfanyakazi bora wa VETA Makete.
Bi. Elizabeth Sanga akikabidhiwa kitita chake baada ya kuibuka mfanyakazi bora katika idara ya maji.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo