UPDATES: BASI LA DAR EXPRESS LAPATA AJALI ENEO LA WAMI, TAZAMA PICHA HAPA

Ajali imetokea mida ya saa nne karibu na wami kutokea Dar es salaam. Gari ni kampuni ya Dar Express iliyokua ikielekea Nairobi.. Abiria wengi wamenusurika kutoka ila kuna majeruhi wachache ambao haijajulikana bado kama kuna aliyekufa. Picha na maelezo haya tumetumiwa na mdau aliyekuwepo eneo la tukio. Tutawajulisha zaidi kwa kadri tutakavyopata habari za tukio hili la kusikitisha 
Chanzo: Pamojablog 


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo