UPDATES: ANGALIA PICHA MWILI WA TYSON WAPOKELEWA KWA MAJONZI HOSPITALI YA KAIRUKI JIJINI DAR

Jioni ya Mei 31 mwili wa Director George Tyson umewasili kwenye hospitali ya Dokta kairuki ambao umehifadhiwa hapo wakati mipango mbalimbali ya mazishi ikipangwa.

Steve Nyerere ambae ni Mwenyekiti wa Bongo movie amewataka waigizaji wote wa filamu kukutana nyumbani kwa marehemu George Tyson maeneo ya mbezi Makonde.
 
Baadhi ya picha wakati mwili ukiwasili kwenye hospitali ya Dokta kairuki.

78platnm
82platnm
83platnm
100platnm
96platnm84platnm
57platnm
56platnm
19platnm


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright 2025 EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo