PICHA ZA MWILI WA GEORGE TYSON UKITOLEWA MOCHWARI MOROGORO NA KUPELEKWA DAR

Msanii wa Bongo Fleva AY akiwa amewasili na crew yake nzima mkoani Morogoro kumpa pole Mboni Masimba, AY alitoa mchango wa shilingi laki sita kununua jeneza la marehemu Tyson hii ikiwa kama mchango wake kwa kuthamini kile alichomfanyia wakati akiwa hai.

Sasa msafara unaelekea Dar Es Salaam na mwili utafikia Hospitali ya Kairuki iliyopo Mikocheni na msiba utakuwa upo Bahari Beach nyumbani kwa marehemu.
IMG_4257
IMG_4263
IMG_4275
IMG_4276
IMG_4277
IMG_4294
IMG_4297IMG_4296
Picha: Dj Choka


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright 2025 EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo