TIMU YA KITULO FM NA VETA MAKETE WATOKA SULUHU YA BILA KUFUNGANA KATIKA MECHI YAO YA KIRAFIKI

 Kikosi cha kitulo fm kilichoanza mtanange huo.
 Kikosi cha VETA Makete kilichoanza mtanange huo.
 Mtanange ukiendelea.
 Golikipa wa Kitulo Fm Aldo Sanga akifurahia kutoka droo.
=======
Mtanange uliokuwa ukisubiriwa kwa hamu na mashabiki mbalimbali kati ya timu ya kituo cha redio cha Kitulo Fm na chuo cha VETA Makete umemalizika kwa suluhu ya bila kufungana. 

Mtanange huo Uliopigwa katika dimba la Kabinda wilayani hapa ulikuwa ni wa vuta nikuvute huku kila timu ikihsmbulia kw zamu lango la mwenziye bila mafanikio. 

Mchezaji wa Kitulo FM ajulikanaye kama Malafyale alizawadiwa kadi mbili za njano  ambapo ilizaa nyekundu na kulazimika kutoka nje ya uwanja dakika chache kaba ya mpira huo kumalizika. 

Hadi refarii Faustine Hunja anapuliza kipyenga cha mwisho, Kitulo Fm 0 na VETA Makete 0


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo