PICHA ZA WABUNGE WA UPINZANI WALIOTOKA NJE YA BUNGE LEO KUSUSIA BAJETI YA WIZARA YA NISHATI NA MADINI

Kwa mujibu wa chombo chetu cha habari kutoka Bungeni Dodoma kinasema wabunge wa upinzani wametoka Bungeni kwa kuigomea Wizara ya Nishati na Madini ambayo ilikuwa inapitisha bajeti yake leo. Wabunge hao wametoka bungeni humo kwa kutotaka kushirikishwa kwenye upitishwaji wa bajeti hiyo kwani kila mwaka haitoi utatuzi kwenye suala la Umeme na Madini ya hapa nchini. Pia Mh. Mbowe alisema wizara hii ni kubwa inabidi igawanywe ili uwepo ufanisi kwatika wizara hii pia ameongezea kwa kusema muda uliowekwa wa kujadili wizara hii ni mdogo kwani wizara hii ya Nichati na Madini ni kubwa ukilinganisha na muda uliowekwa.
 Wabunge wa upinzani wakiwa wanatoka nje ya Bunge baada ya kususia kikao
  Wabunge wa upinzani wakiwa wanatoka nje ya Bunge baada ya kususia kikao


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo