PICHA: GARI LIKITEKETEA KWA MOTO MBEZI LUIS JIJINI DAR ES SALAAM

Picha ikionesha gari moja ambalo linateketea kwa moto eneo la Mbezi Luis jijini dar es Salaam, na haikufahamika mara moja ni madhara kiasi gani yamesababishwa na moto huo wala chanzo chake ni nini. Picha na mdau wa Eddy Blog kupitia whatsApp namba +255 713 836 935


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo