MKUU WA TTM
Ama Kweli Binadamtunaunyama ambao kijumla hautabiriki.
Mwanamke huyu anaeonekana katika Picha, Ameuawa Kikatili na Wananchi Wenye Hasira kali, baada ya Kutuhumiwa kuwa alitaka kuwateka watoto wadogo waliokuwa Wakienda Shule
MKASA WENYEWE..
Ripoti imebainisha kuwa., mama Huyo aliwasimamisha watoto wadogo hao waliokuwa na umri unaokadiriwa Kuwa Miaka 7-10, na kuwaambia atawapeleka Shule, huku akiwaambia waongozane
Baada ya Kufikia uamuzi huyo, Mpita njia mmoja aliyemuona, alihisi huenda mama huyo anataka kuwateka watoto hao, na kuanza kupiga kelele za Msaada, na wananchi kuanza kumshughulikia.
Ama Kweli Binadamtunaunyama ambao kijumla hautabiriki.
Mwanamke huyu anaeonekana katika Picha, Ameuawa Kikatili na Wananchi Wenye Hasira kali, baada ya Kutuhumiwa kuwa alitaka kuwateka watoto wadogo waliokuwa Wakienda Shule
MKASA WENYEWE..
Ripoti imebainisha kuwa., mama Huyo aliwasimamisha watoto wadogo hao waliokuwa na umri unaokadiriwa Kuwa Miaka 7-10, na kuwaambia atawapeleka Shule, huku akiwaambia waongozane
Baada ya Kufikia uamuzi huyo, Mpita njia mmoja aliyemuona, alihisi huenda mama huyo anataka kuwateka watoto hao, na kuanza kupiga kelele za Msaada, na wananchi kuanza kumshughulikia.
Mpaka Mwanamke Huyo anakufa Kikatili, hakuna aliyekuwa na Uhakika kama Mwanamke huyo ni Mtekaji..au Lah
MWISHO WA RIPOTI:
KICHICHI-Kitengo Chimbua Chimbua, NIGERIA
