MSANII RECHO ATIA AIBU BAADA YA KUPANDA JUKWAANI AKIWA AMEVAA HIVI...TAZAMA PICHA HIZI


 
Winfrida Josephat ‘Recho’ ametia Aibu baada ya kupanda  jukwaani  akiwa na  nguo  ya  ndani  tu, hali iliyosababisha  maungo  yake  nyeti  yabaki  hadharani....
 
Ishu hiyo ya aibu ilijiri kwenye Ukumbi wa Sun Ciro uliopo Ubungo, Dar ambapo kulikuwa na kinyang’anyiro cha kumsaka mlimbwende wa Chuo cha Ustawi wa Jamii kilichopo Dar huku Recho akiwa mtumbuizaji.
 
Kwa mujibu wa mashuhuda wetu, Recho alipanda kwa steji kupiga shoo akiwa ametinga kivazi hicho ambacho kilikuwa ni sawa na chup*** , hivyo kuibua gumzo kwenye shindano hilo ambalo aliyeibuka kidedea ni Junis Ndalima.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo