MSANII RAYUU ASAKA MUME WA KUMUOA, KAMA UPO "SINGO" KAZI NI KWAKO




Staa katika tasnia ya filamu Alice Bagenzi “Rayuu” amefunguka na kusema amechoka maisha ya kuishi kiupweke hivyo anatafuta mwanaume wa kumuoa ili naye awe katika ndoa na aachane na maisha ya ukapera maana kwa sasa yanamuelemea na kila aonapo watu walio olewa jinsi wanavyoishi na wanaume zao basi na yeye anatamani sana maisha hayo.
 
"Natafuta mwanaume wa kuniweka ndani ambaye atakuwa mkweli na  atanipenda kwani nimechoka maisha ya kisela, nataka niwe mke halali wa mtu tena mwanaume atakayekuja kwangu nitampenda sana”  Alifunguka  mbele  ya  Mpekuzi  wetu  na  kuongeza:

"Mimi ni binti mzuri tena bado mdogo hivyo maisha ya kurukaruka nimechoka"


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo