Msanii wa filamu za kibongo Jackie Pentezen amelazwa hoi hospital ya
Agha Khan mjini Morogoro akisumbuliwa na homa ya matumbo, typhod na
maralia!
Mume wake Jakie, Dibibi amethibitisha hilo kwa kusema mke wake amelazwa hospitali hapo tangu jana saa 8 mchana na mpaka muda huu bado yupo hospitalini akiendelea na matibabu!
