MC ZIPOMPA NAYE ANUSURIKA KUFA AJALINI, ALIKUWA GARI MOJA NA TYSON!

MC maarufu Gladys Chiduo maarufu kwa jina la MC Zipopamba (pichani) amenusirika kifo baada ya gari kupata ajali na kumuua George Tyson. 

Zipompa ameuambia mtadao huu asubuhi hii kuwa yeye alikuwa kiti cha mbele na Tyson pamoja watu wengine walikuwa viti vya nyuma na kilichomuokoa yeye ni kufunga mkanda, kwani licha gari kupinduka na kuzunguruka mara tatu alipata majeraha kidogo na hali yake inaendelea vyema kwa sasa akiwa hospitali ya Mkoa ya Morogoro.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo