MBUNGE MSIGWA AONGOZA MAZISHI YA MAREHEMU GERVAS KALOLO IRINGA

 Mchungaji Peter Msigwa Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini ambaye pia ni mwenyekiti wa wilaya ya Iringa-Chadema akiweka shada la maua kaburini.
Meya wa Mji wa  Iringa Mjini Amani Mwawindi akiweka shada la maua katika kaburi la aliyekuwa kada wa Chadema Gervas Kalolo aliyezikwa makaburi ya Mtwivilla Manispaa ya Iringa, mkoani Iringa hivi karibuni.
 Ndugu wa marehemu wakiweka Mashada ya maua katika kaburi baada ya mazishi. Picha na Mnyalu.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo