MBUNGE AUGUA GHAFLA BUNGENI DODOMA

 
Mbunge wa viti maalum unguja kaskazini  Bahati Ali Abeid pichani  ameugua ghafla mjini Dodoma na kulazwa katika hospital dodoma baada kudhaniwa kuwa na ugonjwa DENGUE 

Tunaisubiri taarifa ya hospitali ieleze kuwa mbunge huyo anaumwa nini, na tutawajulisha kwa kadri tutakavyozipata taarifa zake


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo