MATUKIO KATIKA PICHA ZA MAADHIMISHO YA MEI MOSI 2014 WILAYANI MAKETE

 Maandamano ya wafanyakazi wilayani Makete mkoani Njombe yakitoka kwenye ofisi za halmashauri ya wilaya hiyo.
 Mwendesha bodaboda Fadhili Ilomo na wenzake wakinogesha maandamano hayo.
Bango la idara ya ujenzi wilayani Makete kama linavyoonekana.
 Madereva bodaboda wakikata mitaa Makete mjini.
Hata watoto hawakukosa maadhimisho hayo.
Askari wakiongoza wafanyakazi kuingia viwanja vya mabehewani yalipofanyika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani.
Waalimu wakipita mbele ya mgeni rasmi katika viwanja vya mabehewani.
 Watumishi wa idara ya afya wakipita mbele ya mgeni rasmi.
 Wafanyakazi wa idara ya kilimo, wakipita mbele ya mgeni rasmi.
Madereva bodaboda wakipita na bango lao mbele ya mgeni rasmi.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo