KWETU MAKETE HAYA NDIYO TUNAYAITA MAGARI YA KAZI, TZAMA PICHA HIZI


Kutokana na wilaya ya Makete kuwa miongoni mwa wilaya "Ngumu" hasa kimazingira na kibarabara pia, magari haya yameonekana kuwa mkombozi kwa watumiaji, kutokana na kufika sehemu mbalimbali ambazo magari mengine hayawezi kufika hasa wakati wa masika

Hapa ni Bulongwa ambapo gari hili aina ya Land Rover 109 limrnaswa na kamera yetu likipiga mzigo kwa kubeba kokoto licha ya barabara nyingi kuwa hazipitiki wakati huu wa masika, lakini hili linapita bila wasiwasi wowote.(Picha na Edwin Moshi wa Eddy Blog)


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo