Habari nilizozipata punde ni kwamba ustadh Ilunga Hassan Kapungu muasisi
wa maneno mfumo kristo Tanzania amefariki dunia kwa ugonjwa wa kisukari
na baadae figo zake kushindwa kufanya kazi.Ustadh Ilunga atazikwa Leo.
Innalilahi waina Ilaihi Rajiuun.
Innalilahi waina Ilaihi Rajiuun.
