Chama kilichovunja rekodi kwa kupata usajili wa kudumu miezi michache mara baada ya usajili wa muda; ACT-TANZANIA
leo ndio kimekabidhiwa cheti chake cha usajili wa kudumu rasmi na
masajili wa vyama vya siasa mara baada ya kumalizika zoezi la usajili
lililofanyika katika mikoa kumi iliyoteuliwa.
kilifanikiwa kumaliza zoezi la uhakiki mara baada ya kuruka vihunzi vingi toka kwa wahafidhina na watu wasiopenda siasa za ushindani.
Katika zoezi letu tumekumbana na vikwazo vingi ikiwa pamoja
na uchomekaji wa wanachama fake waliotumwa kwaajili ya kazi ya kujifanya
wako tayari kuhakikiwa lakini kwa lengo la kutojitokeza siku ya
kuhakikiwa, jambo ambalo wahafidhina na maadui zetu walikuwa hawajui ni
kuwa chama chetu kinapendwa na wananchi hivyo wengi walijitokeza kiasi
cha kuziba mapengo ya mamluki ambao kwa makusudi hawajajitokeza siku ya
kuhakikiwa.
Pamoja na hayo tunatambua wanachama wetu waaminifu waliotaka
kujitokeza lakini sababu zilizo nje ya uwezo wao zilipelekea washindwe
kujitokeza siku ya kuhakikiwa.
Karibu ACT-TANZANIA, wewe ndio mbadala wa CHADEMA na CCM.
Mungu ibariki Tanzania.
Karibu ACT-TANZANIA, wewe ndio mbadala wa CHADEMA na CCM.
Njano5.
Mwanachama.
0784845394
Mwanachama.
0784845394

