AJALI MBAYA YATOKEA MDA HUU KATI YA GARI NA TRENI ENEO LA KALOLENI/TABOTA PICHA HIZI HAPA

Gari ndogo ikiwa imeharibika vibaya baada ya kugonga Treni eneo la kaloleni
Gari ikiwa imeharibika vibaya sana baada ya kugonga Treni
Wanainchi wa eneo hilo wakiwa wanatazama ajali hiyo baada ya kutokea

Taarifa zaidi itawajia Baadae  tunafuatilia kama kuna waliojeruhiwa na vifo


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright 2025 EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo