MVUA ZAZIDI KUCHAKAZA BARABARA WILAYANI MAKETE


Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha wilayani Makete mkoani Njombe, baadhi ya barabara zimeharibika vibaya na kusababisha kero kwa watumiaji wa barabara hizo. 

Pichani ni hali ya barabara ya Tanesco iliyopo Makete mjini inavyoonekana ikiwa imejaa mashimo na tope kwa wingi, huku vifusi vya kuikarabati vikiwa vimelundikwa pembeni na kazi ya kuikarabati kushindwa kufanyika kutokana na mvua nyingi zinazonyesha wilayani hapo.(Picha na Edwin Moshi)


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo