MANCHESTER UNITED YAFUFUKA, YAANZA KUTEMBEZA KICHAPO KWA NORWICH

Ikiwa ni mechi ya kwanza toka Ryan Giggs achaguliwe kuchukua kwa muda nafasi ya David Moyes alietimuliwa, Manchester United imemiliki headlines kwa sauti kubwa baada ya ushindi mkubwa ilioupata leo April 26 2014. 

Magoli ya Man U dhidi ya Norwich yalifungwa na Rooney kwenye dakika ya 41 kwa panati na dakika ya 48 huku mawili yaliyobaki yakifungwa na Mata kwenye dakika ya 63 na 73.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo