Marehemu Seleman Kapalu.
Diwani
Chama cha Mapinduzi (CCM) kata ya Igalula wilayani Uyui mkoa wa
Tabora, Seleman Kapalu amefariki dunia kwa maradhi ya kifua.
Taratibu za Mazishi zinaendelea. MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI. AMEN!
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi