Pichani
juu ni taswira za basi la timu ya Yanga SC lililoingia mtaroni eneo la
Mikese mkoani Morogoro wakati timu hiyo ikielekea jijini Dar es Salaam
baada ya mechi yao ya jana dhidi ya Mtibwa Sugar.
(PICHA NA GLOBAL WHATSAPP 0753 715 779)
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube