BREAKING NEWS: MATOKEO YA AWALI UCHAGUZI MDOGO KALENGA YAKO HAPA



Ipamba no2. 
CCM 104, Chadema 10,CHAUSTA 0


TOSA no.1 
CCM 98 ,Chadema 20, CHAUSTA 0

Isakulilo 
CCM 83,Chadema 8,CHAUSTA 0

Kilindi A 
CCM 69 ,Chadema 23, CHAUSTA 0

Ofisi ya Kijiji(Kilindi)
 CCM 117, Chadema 53, CHAUSTA0

Zahanati  
CCM 117,Chadema 67, CHAUSTA 1

Ifunda
Kivalali A
 CCM 99 Chadema 19 CHAUSTA 0

Kivalali B
 CCM 109 Chadema 14, CHAUSTA 1

Muwimbi 
CCM164, Chadema 22 CHAUSTA 0

Mahanzi 
CCM 130 Chadema 46 CHAUSTA 0

Ikungwe

CCM 131 Chadema 23 CHAUSTA 0

Ikungwe B 
CCM 216 Chadema 13 CHAUSTA 0

Magunga 
CCM 184 ,Chadema 4 CHAUSTA1

Wasa 
CCM 149,Chadema 15 CHAUSTA 0

Usengelidete 
CCM 260,Chadema 46,CHAUSTA O
 
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kalenga kwa tiketi ya chama cha CCM,Ndugu Godfrey Mgimwa akiwa amebebwa juu na wafuasi wa chama hicho usiku huu,kwenye Ofisi za CCM mkoa,huku wakisubiri matokeo rasmi kutangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi muda wowote kuanzia sasa.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo