WADAKWA NA MENO YA TEMBO WILAYANI NAYUMBU MKOA WA MTWARA

Watuhumiwa wa usafirishaji wa Meno ya Tembo ambao wamekamatwa wilayani
Nanyumbu Mkoa wa Mtwara  yenye uzito  wa kg 130.6 yenye thamani ya
Tshs Milioni 7.35 katika  Hamidu Ngunde (40) wa pili ni Boniphace
Msogo (29) na Geddat Mmuni (36) ote wakazi wa Jijini Dar es Salaam
wakiwa ndani ya gari la polisi baada ya kumaliza upimaji wa uzito .

Watuhumiwa wa usafirishaji wa Meno ya Tembo ambao wamekamatwa wilayani
Nanyumbu Mkoa wa Mtwara wakiwa wanaangalia upimaji uzito wa meno hayo
yenye uzito  wa kg 130.6 katika ghala lililopo makao makuu ya wilaya hiyo mjini Mangaka kutoka kulia
ni Hamidu Ngunde (40) wa pili ni Boniphace Msogo (29) na Geddat Mmuni
(36)w ote wakazi wa Jijini Dar es Salaam


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo