WAANDISHI WATATU WAJERUHIWA KWA KUPIGWA RISASI

WAANDISHI WA HABARI WALIO JERUHIWA
  Waandishi wa habari watatu, wamejeruhiwa vibaya kwa kupigwa risasi huko  Beni Kivu kaskazini baada ya kushambuliwa na waasi wa ADF katika mbuga ya wanyapori ya Virunga.
  Waandishi wa habari hao ni pamoja na Hangi wa redio muungano Oicha , SUBIRI PATIENT wa redio semuliki Beni NA KENEDY wa  redio OICHA.
  Mmoja kati yao hali yake ni mbaya, na wawili wanaendelea vyema. 
  Mungu waponye.
                         MUNGU IBARIKI TAALUMA YA HABARI.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo