MZEE MWINYI AZINDUA MPANGO ENDELEVU KWA WAKULIMA


Rais Mstaafu wa awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi, akizindua mpango maalumu na  endelevu wa kumuwezesha mkulima yeyote hapa nchini kupata trekta kwa bei nafuu kupitia ushirikiano wa benki ya KCB Tanzania, anaeshuhudia kulia ni Diwani wa Kwadelo wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma, Bw. Omary Kariati aliyefanyikisha mradi huo na kununua trekta 15 kwa ajili ya wakulima nchini. Hafla hiyo ilifanyika Mikocheni jijini Dar es Salaam jana.
Rais Mstaafu wa awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi, akiwasha Trekta ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa  mpango maalumu na endelevu wa kumuwezesha mkulima yeyote hapa nchini  kupata trekta kwa bei nafuu kupitia ushirikiano wa benki ya KCB Tanzania. Hafla hiyo ilifanyika nyumbani kwake Mikocheni jijini Dar es Salaam. Anayeshuhudia kulia ni Diwani wa Kwadelo wilaya ya kondoa mkoani Dodoma, Bw.Omary Kariati aliyefanyikisha mradi huo na kununua trekta 15 kwa ajili ya wakulima nchini. Rais Mstaafu wa awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi, akiangalia moja ya Trekta  kati ya15 kabla  ya kuzindua mradi endelevu wa kumuwezesha mkulima yeyote hapa nchini  kupata trekta  kwa bei nafuu kwa ushirikiano na benki ya KCB Tanzania na Diwani wa kata ya Kwadelo Bw. Omary Kariati. Hafla hiyo ilifanyika nyumbani kwake Mikocheni jijini Dar es Salaam. Rais Mstaafu wa awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi, akiongea wakati wa hafla ya uzinduzi wa  mpango maalumu na endelevu wa kumuwezesha mkulima yeyote hapa nchini  kupata trekta  kwa bei nafuu kupitia ushirikiano wa benki ya KCB Tanzania na Diwani wa kata ya kwadelo wilaya ya kondoa mkoani Dodoma, Bw. Omary Kariati wa pili kushoto. Hafla hiyo ilifanyika nyumbani kwake Mikocheni jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wakulima wa kata ya Kwadelo wilaya ya kondoa mkoani Dodoma wakimsikiliza Rais Mstaafu wa awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi (hayupo pichani) akiongea wakati wa makabidhiano rasmi ya Trekta 15 kuzindua mradi endelevu wa kumuwezesha mkulima yeyote hapa nchni  kupata trekta  kwa bei nafuu kwa ushirikiano na benki ya KCB Tanzania na Diwani wa kata ya Kwadelo Bw. Omary Kariati. Rais Mstaafu wa awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi, akisalimiana na Mkurugenzi wa ushirikiano wa kibenki wa benki ya KCB Tanzania, Bw.Frank Nyabundege (kushoto) wakati wa hafla ya uzinduzi wa  mpango maalumu na endelevu wa kumuwezesha mkulima yeyote hapa nchini  kupata trekta  kwa bei nafuu kupitia ushirikiano wa benki ya KCB Tanzania na Diwani wa kata ya kwadelo wilaya ya kondoa mkoani Dodoma, Bw. Omary Kariati (kulia). Hafla hiyo ilifanyika nyumbani kwake Mikocheni jijini Dar es Salaam.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo