KAMA WEWE NI MZAZI NA WANAO MWANAFUNZI AMEFANYA HIVI UTAMFANYAJE?

Hili ni rundo la baadhi ya samani (madawati viti na vitanda) ambavyo vimevunjwa na wanafunzi wa shule ya sekondari Mang'oto wilayani Makete mkoani Njombe. Hali hii imepelekea wingi wa samani hizi kuharibika mno kisi cha kutofaa kutumika tena, matokeo yeke wazazi wanaendelea kulipia fedha ya madawati au viti vipya kutokana na huu uzembe wa wanafunzi, je wazazi/wazazi mbona hawaonewi huruma na wanafunzi ama uongozi wa shule kwa kupanga mikakati thabiti ya kuzuia ama kupunguza tatizo hili? (Picha na Eddy Blog)


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo