DALADALA ZAGOMA JIJINI MWANZA, ABIRIA WAPANDA MALORI, PIKIPIKI ZA MIZIGO, ANGALIA PICHA



Madereva  wa  daladala  jijini  Mwanza  leo  wameamua  kugoma  kutoa  huduma  hiyo  muhimu  kwa  jamii  wakiishinikiza  serikali  kupandisha  nauli  na  kupunguza  faini  pindi  wanapokamatwa  na  askari  wa  usalama  barabarani....

Baada  ya  mgomo  huo  kuanza, abiria     walimua   kutumia  Malori, baiskeli, Toyo Kilimo  na  pikipiki  kama  njia  mbadala  ya  kusafiria.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo