skip to main |
skip to sidebar
RAIS MSTAAFU BENJAMIN MKAPA AMKABIDHI RAIS KIKWETE VITABU VYA HOTUBA ZAKE
Rais
Mstaafu awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa amemkabidhi Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete nakala ya vitabu vya hotuba zake alizozitoa
kwa nyakati tofauti wakati wa uongozi wake wa miaka kumi.Pichani Rais
Mstaafu Benjamin Mkapa akikabidhi Rais Kikwete vitabu hivyo katika hafla
fupi iliyofanyika ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi.VitABU hivyo
vimechapishwa na kampuni ya Mkuki na Nyota chini ya Mkurugenzi wake
Bwana Walter Bgoya Picha na Freddy Maro.
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi