SHIRIKA LA VIWANGO TANZANIA (TBS) KWA KUSHIRIKIANA NA JESHI LA POLISI KANDA MAALUMU YA DAR ES SALAAM WAFANYA OPERESHENI YA KUSAKA WAFANYABIASHARA WA NGUO ZA NDANI ZA MITUMBA

IMG_5870Januari 15 wafanyabiashara wa nguo za ndani wa soko la Karume hawakuimaliza vizuri siku hii baada ya Shirikia la Viwango Tanzania[Tbs]kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Nchini kuendesha operesheni ya Kataza kuuza nguo za ndani ambazo zishatumika(mitumba).
IMG_5913Afisa Habari wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Bi Roida ameongea na waandishi wa habari mara baada ya kukamata kwa marobota hayo ya nguo za ndani ambapo amesema wamekamata nguo hizo za ndani kwa sababu walishazipiga marufuku kuuzwa hapa nchini kwa kukosekana kwa viwango vinavyotakiwa lakini wafanyabiashara hao wamekua wakikaidi agizo hilo na kuendelea kuuza.
IMG_5873                   Wafanyabiashara wa Karume wakiishuhudia hali hiyo.
Marobota ya nguo za ndani jana yalipakizwa kwenyemagari ya polisi na yalielekea kituo cha polisi cha msimbazi kwa ajili ya kuteketezwa kwa moto.
IMG_5904
Baadhi ya nguo za ndani zilizokamatwa.
IMG_5901


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo