MAJANGA: BASI LA MBEYA EXPRESS LACHOMOKA TAIRI ZA NYUMA LIKIWA KWENYE MWENDO, ABIRIA CHUPUCHUPU

Hili ni basi la MBEYA Express inayofanya safari toka MBEYA mpaka Sumbawanga baada ya kuchomoka tairi za nyuma upande wa dereva na kutembea bila tairi umbali wa mita 320 baada ya kuvuka tunduma kuelekea Sumbawanga. 

Namshukuru Mungu alitutetea na wote tukatoka wazima. Tulifika Sumbawanga saa moja jioni. 

Acheni Mungu aitwe Mungu.

PICHA NA MDAU WETU OMEGA KAGINE


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo