KATIBU WA CCM IRINGA ALIPONGEZA JESHI LA POLISI KWA KUWATIA MBARONI VIONGOZI WA CCM.

Katibu wa CCM mkoa, Menga Hassani amelipongeza jeshi la polis mkoa wa iringa kwa kufanya kazi yake kwa ufasaha.

Hayo yameyasema na mwenyekiti huyo baada ya jeshi la polisi kuwakamata baadhi ya viongozi wa chama hicho kwa kuzidisha muda wakati wa mikutano .

Wakati huohuo amevitaka vyama vya kisiasa vinavyofanya mikutano kutii sheria zilizowekwa na serikali ikiwa na kufuata muda ambao umepangwa.

Hata hivyo kuhusiana na tukio hilo kutokea amesema ni tatizo la kupishana kwa muda baina ya viongozi wa chama na jeshi la polisi.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo