KUMEKUCHA CCM, MSINDAI ATOA SIKU 7, LA SIVYO ATAMPELEKA MTU MAHAKAMANI

Mgana Msindai (Mwenyekiti wa Wenyeviti wa CCM) ametoa siku 7, kwa mwenyekiti wa mkoa wa Geita amwombe msamaha kwa kumtuhumu kuwa "Alikuwa amelewa pombe" siku alipomuunga mkono Edward Lowassa kwa kuwaletea wananchi wake maendeleo!


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo