BREAKING NEWSS! MWALIMU MKUU ANAYETUHUMIWA KUMLAWITI MWANAFUNZI YATIMA AKAMATWA USIKU HUU !



Mwalimu mkuu anayetuhumiwa kumlawiti mwanafunzi wake ambaye ni yatima amekamatwa usiku huu baada ya mbeya yetu blog kutoa habari hiyo kwa kina mapema leo,  kikosi kazi Cha Mbeya yetu kinaendelea kufuatilia habari hii kwa ukaribu na tutawaletea tukio zima hapa hapa.

Endelea kufuatilia
Picha na Mbeya yetu


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo