Basi
la Allys toka arusha kwenda Mwanza limeacha njia na kuingia kwenye
mteremko wa mlima Sekenge. Kwa mujibu wa taarifa zilizopo break
zilifelI. Watu wote wametoka salama.
BASI LA ALLYS LAACHA BARABARA MLIMA SEKENKE, PICHA ZA TUKIO ZITAZAME HAPA
By
Edmo Online
at
Monday, January 06, 2014