Lowassa asikitishwa na polisi kuwapiga mabomu wafuasi wake

Mgombea urais wa CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa, ameelezea kusikitishwa na hatua ya polisi jijini Tanga kuwapiga mabomu wananchi waliokuwa wakirejea makwao kutoka katika mkutano wake wa kampeni juzi.

“Niliporejea hotelini baada ya mkutano jana (juzi), nilipata taarifa kwamba polisi waliwapiga mabomu wafuasi wa Ukawa, nasikitika sana kwa kitendo kile, kwa sababu tulikubaliana polisi wasipige watu mabomu, tushirikiane katika kufanya kazi pamoja ili kuondoa vurugu". Alisema Mh. Lowassa


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo