Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana watatu kushoto, akiungana na
Vijana wa CCM kula kiapo cha uanachama, baada ya kuwakabidhi kadi za
Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) vijana 40, katika mkutano uliofanyika
kwenye kiituo cha Mafunzo ya zana za kilimo kwa wakulima katika Kijiji
cha Usuka, Kata ya Isuka Wilayani Wanging'ombe mkoa mpya wa Njombe
leo mchana. Kushoto ni Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa,
Mbunge mteule, Dk. Asha-Rose Migiro.
Vijana waliopatiwa kati za CCM na Katibu Mkuu wa CCM, katika mkutano wa
hadhara uliofanyika kwenye Kituo cha Mafunzo ya zana za kilimo kwa
wakulima katika Kijiji cha Usuka, Kata ya Isuka Wilayani Wanging'ombe
katika mkoa mpya wa Njombe.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimkabidhi kadi ya UVCCM,
kijana Geawa Wibiki, wakati wa mkuytno wa hadhara uliofanyika kwenye
Kituo cha Mafunzo ya zana
za kilimo kwa wakulima katika Kijiji cha Usuka, Kata ya Isuka Wilayani
Wanging'ombe katika mkoa mpya wa Njombe. Kushoto ni Dk. Asha-Rose
Migiro na watatu kushoto ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Njombe, Deo
Sanga.
Vijana wakimshangilia Kinana katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Kituo cha Mafunzo ya zana
za kilimo kwa wakulima katika Kijiji cha Usuka, Kata ya Isuka Wilayani
Wanging'ombe katika mkoa mpya wa Njombe.
Kinana, Napa na Dk. Asha-Rose wakiwasalimia wananchi walipowasili
kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Kituo cha Mafunzo ya zana
za kilimo kwa wakulima katika Kijiji cha Usuka, Kata ya Isuka Wilayani
Wanging'ombe katika mkoa mpya wa Njombe.
Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa KImataifa, Dk. Asha-Rose Migiro
akisalimiana na Mkuu wa wilaya ya Wanging'ombe Esteria Kilasi, katika
mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Kituo cha Mafunzo ya zana
za kilimo kwa wakulima katika Kijiji cha Usuka, Kata ya Isuka Wilayani
humo katika mkoa mpya wa Njombe.
Kinana akifurahia ngoma zilizokuwa zikitumbuizwa na kinamama wa
Wanging'ombe, alipowasili katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye
Kituo cha Mafunzo ya zana
za kilimo kwa wakulima katika Kijiji cha Usuka, Kata ya Isuka Wilayani
Wanging'ombe katika mkoa mpya wa Njombe.
Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa KImataifa, Dk. Asha-Rose Migiro akijaribu Power Tiller, katika Kituo cha Mafunzo ya zana
za kilimo kwa wakulima katika Kijiji cha Usuka, Kata ya Isuka Wilayani
Wanging'ombe katika mkoa mpya wa Njombe.
HEEEE JAMANI, ZA SIKU NYINGI... Mtangazaji wa zamani Sarah Dumba ambaye
sasa ni Mkuu wa wilaya ya Njombe, akimsalimia kwa bashasha Katibu wa NEC,
Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Asjha-Rose Migiro alipowasili
katika mkoa huo leo
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Katibu wa NEC, Itukadi na
Uenezi, Nape Nnauye wakiwa mbele ya Jengo la Mradi wa CCM, mkoa wa
Njombe, baada ya Kinana kuzindua jengo hilo leo








