Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akihutubia maelfu ya wananchi katika
mkutano wa hadhara uliofanyika leo jioni kwenye viwanja vya Ruanda
Nzovwe, Mjini Mbeya leo jioni
Maelfu ya wananchi wakiwa wamefurika kwenye viwanja vya Ruanda Nzove kwenye mkutano huo
SOTE NI CCM: Wananchi wakimpungia mikono Katibu wa NEC, Itikadi na
Uenezi Nape Nnauye alipowahutubia maelfu ya wananchi katika mkutano
huo
Nape akisisitiza jambo kwenye mkutano huo
'Tanzania, Tanzaniaaaa Nakupenda kwa moyo woteee...." Nape akiimba
pamoja na wananchi wimbo huo wa kuamsha ari ya uzalendo katika baada ya
kuwahutubia maelfu ya watu kwenye mkutano huo.
Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Mbunge Mteule Dk.
Asha-Rose Migiro akihutubia maelfu ya wananchi kwenye mkutano huo
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akionyesha alama ya dole dumba ya
CCM, kuonyesha kuwa mambo safiiii, alipokuwa akienda kwenye mkutano
huo kwa kutumia bajaj
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akionyesha alama ya dole
dumba ya CCM, kuonyesha kuwa mambo safiiii, alipokuwa akienda kwenye
mkutano huo kwa kutumia bajaj.(PICHA ZOTE NA CCM)






