AKAMATWA NA SARE ZA JWTZ JIJINI MBEYA

Jeshi la polisi mkoani Mbeya linamshikilia Peter Patrick (20) mkazi wa Sae jijini hapo kwa tuhuma za kukutwa na sare za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (Jwtz).

Kaimu kamanda wa Polisi mkoani Mbeya kamishna msaidizi Robart Malaya alisema kuwa tukio hilo lilitoa oktoba 31 mwaka huu saa 5:00 usiku maeneo ya Mamajohn.

Aliendelea kwa kusema kuwa mtuhumiwa alikutwa amevaa kofia,kombati na buti la jeshi hilo kitu ambacho ni kinyume na sheria na taratibu zinafanywa ili kuweza kufikishwa mahakamani kujibu mastaka yanayo mkabili.
Na Saimeni Mgalula, EDDY BLOG, Mbeya
 


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo