Mgombea nafasi ya Urais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania
(TFF),Jamal Malinzi akizungumza na Waandishi wakati wa Uzinduzi wa
Kampeni zake za kuwania nafasi hiyo,iliyofanyika mchana huu kwenye
Ukumbi wa Mikutano kwa Hoteli ya Hyatt Regency,Jijini Dar es Salaam.
Vijana wa michezo wakishima Mipira kulingana na Umri wao
Mgombea nafasi ya Urais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania
(TFF),Jamal Malinzi akizungumza na Waandishi wakati wa Uzinduzi wa
Kampeni zake za kuwania nafasi hiyo,iliyofanyika mchana huu kwenye
Ukumbi wa Mikutano kwa Hoteli ya Hyatt Regency,Jijini Dar es Salaam
Wajumbe wa vyama vya soka nchini Tanzania wakifuatilia uzinduzi wa
kampeni.
Wanahabari na wadau mbali mbali wa Soka nchini wakiwa kwenye Mkutano
huo.
Team Malinzi. PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI