Wanafunzi
shule za sekondari wilayani Makete wameaswa kuwa makini ktk maandalizi
yao ya kufanya mtihani wa kidato cha nne mwaka huu
Hayo yamesemwa na Mh.diwani wa kata ya Ukwama wilayani hapa Smith Sanga akiwa ktk mahafali ya kwanza tokea kuanza kwa shule ya sekondari ya kata ya Ukwama iliyoanza rasmi mwaka 2010
Diwani huyo amesema kuwa wanafunzi wa shule hiyo wengi wao wamekuwa wakikabiliwa na janga la upataji mamba ovyo zinazosababishwa na wanafunzi hao kuishi mtaani ambapo mazingira hayo ni hatari sana kwa mtoto wa kike
Jumla ya watahiniwa 35 wa kidato ha nne ndio wanaotegemewa kufanya mtihani wa kidato cha nne ktk shule hiyo ya kata iliyoanza kujengwa mwaka 2005na kuanza kupokea wanafunzi Rasmi mwaka 2010 hivyo ktk hali hiyo wanafunzi hao ndio waliozindua kuanza mafunzo yao hapo mwaka 2010 na mwaka huu ndio wamemaliza kwa mara ya kwanza ktk shule hiyo
Akizungumza nasi Mwl.Matokeo John amesema wazazi wengi wa watoto hao wamekuwa wakiwatorosha wanafunzi na kuwapeleka mijini kufanya kazi mbalimbali hivyo kupungua kwa idadi kubwa ya wanafunzi shuleni hapo
Pia Mh.Diwani amezitaja baadhi ya changamoto ambazo wanafunzi wamezisoma ktk risala yao kwa mgeni Rasmi Afisa elimu Wilaya Bw.Jacob Meena ambapo amesema ukosefu wa bweni za kulala wanafunzi ambapo kuishi mitaani kwa wanafunzi kunaongeza wimbi la upataji mimba kwa watoto wa kike, na upungufu wa walimu hasa upande wa masomo ya sayansi
Na:Furahisha Furahisha Nundu
Hayo yamesemwa na Mh.diwani wa kata ya Ukwama wilayani hapa Smith Sanga akiwa ktk mahafali ya kwanza tokea kuanza kwa shule ya sekondari ya kata ya Ukwama iliyoanza rasmi mwaka 2010
Diwani huyo amesema kuwa wanafunzi wa shule hiyo wengi wao wamekuwa wakikabiliwa na janga la upataji mamba ovyo zinazosababishwa na wanafunzi hao kuishi mtaani ambapo mazingira hayo ni hatari sana kwa mtoto wa kike
Jumla ya watahiniwa 35 wa kidato ha nne ndio wanaotegemewa kufanya mtihani wa kidato cha nne ktk shule hiyo ya kata iliyoanza kujengwa mwaka 2005na kuanza kupokea wanafunzi Rasmi mwaka 2010 hivyo ktk hali hiyo wanafunzi hao ndio waliozindua kuanza mafunzo yao hapo mwaka 2010 na mwaka huu ndio wamemaliza kwa mara ya kwanza ktk shule hiyo
Akizungumza nasi Mwl.Matokeo John amesema wazazi wengi wa watoto hao wamekuwa wakiwatorosha wanafunzi na kuwapeleka mijini kufanya kazi mbalimbali hivyo kupungua kwa idadi kubwa ya wanafunzi shuleni hapo
Pia Mh.Diwani amezitaja baadhi ya changamoto ambazo wanafunzi wamezisoma ktk risala yao kwa mgeni Rasmi Afisa elimu Wilaya Bw.Jacob Meena ambapo amesema ukosefu wa bweni za kulala wanafunzi ambapo kuishi mitaani kwa wanafunzi kunaongeza wimbi la upataji mimba kwa watoto wa kike, na upungufu wa walimu hasa upande wa masomo ya sayansi
Na:Furahisha Furahisha Nundu
